Makala za Kiswahili
Karibu ujifunze kuhusu biashara mtandaoni, namna ya kupta wateja, personal branding na mambo mengine muhimu kwenye uchumi wa kidigitali.
Fahamu Fursa Nne Zinazopatikana Kidigitali
Mara nyingi umekuwa ukisikia watu wanaongelea kuhusu fursa unazoweza kufanya kupitia majukwaa ya kidigitali lakini bado hujajua hizo fursa ni zipi, na unawezaje kuzipata? Kwenye makala hii nitakuelezea kwa ukaribu hizo fursa, namna ya kuzipata na jinsi ya kuzitumia...
Jinsi ya Kutengeneza M-Pesa Visa Card Nchini Tanzania
Hauhitaji tena Kwenda Bank kufungua akaunti ili upate kadi itakayokuwezesha kufanya malipo mtandaoni, ili mradi tu una akaunti ya M-Pesa. Au una kadi yako ya CRDB/NMB lakini hutaki kuitumia kufanyia malipo mtandaoni? Chukua simu yako, tengeneza VISA Kadi leo kwani...
Jinsi Ya Kujenga Jina Mtandaoni
Haijarishi kuwa wewe ni mtoto wa mkulima, huna connection, umetafuta kazi umekosa, watu hawakujui au upo kwenye harakati za kujitafuta. Chukua simu yako zama mtandaoni huko ndiko fursa zilipo. The universal does not belong to anyone group of people, everyone story is...
Ni Ipi Namna Nzuri Ya Kutumia Mitandao Ya Kijamii?
Je, mitandao inakutumia zaidi kuliko unavyotakiwa kuitumia?. Leo hii mtu akinunua simu kubwa (smartphone) kitu cha kwanza anachokimbilia ni kujipost mtandaoni hata kama yuko kitandani, je hivi ndivyo tunavyotakiwa tuitumie mitandao? Kuwa kwenye ulimwengu wa kidigitali...
Je ni Nini Hatima ya Wale Wanaocode Kwenye Ulimwengu wa AI?
Kila sehemu AI, AI, AI inaenda kuchukua nafasi za wale wanaocode (Developers). Hata kipindi google inaanza watu walitabiri kuwa developers wengi watakosa kazi. Je, developers walikosa kazi? AI ni kama google tu. Kwa nini uogope wakati maendeleo ya sayansi na...
Mambo Matano Mwanachuo Anaweza Kufanya ili Kukwepa Unemployed Baadae
Hakuna muda mzuri wa kukabiliana na unemployment kama muda ambao uko chuo. Wengi huja kulifahamu hili tayari jua limeshazama, muda huo upo nyumbani, pengine hata kupata fedha ya kujikimu au ya vocha ni kipengele yaani kuipata ile buku mbili mpaka uende ukafanye kazi...
Jinsi Nilivyopata Mteja Linkedin Nikiwa Bado Mwanafunzi
Sikuwahi kuamini kama Linkedin ingeweza kunisaidia kupata mteja kwani wanafunzi wengi tunaamini mtandao pekee hauwezi kukufanya upate kazi zenye maana mpaka uajiliwe kwenye makampuni au taasisi. Jambo ambalo linatufanya tuwe na mawazo mgando na hatimae tukose fursa...
Ifahamu LinkedIn na Jinsi ya Kutengeneza Profile Itakayokupatia Fursa
Linkedin ni mtandao wa kidigitali ambao unaunganisha watu wa kila aina kutoka pande zote za dunia hasa vijana wanaotafuta kazi, wajasiriamali wanaotaka kukuza biashara zao, kuboresha kazi zao na makampuni yanayotafuta wafanyakazi nayo pia yapo Linkedin. Unaweza...
Jinsi AI Inavyoweza Kutumia Sauti Yako Kuzungumza na Mtu Mwingine
Baada ya Yombo kusikia neno AI linatamkwa sana huku mtaani ikabidi amuulize jamaa yake Kadozo ili apate kujua zaidi. Hivi ndivyo Mazungumzo yalivyokuwa. (Kadozo na Yombo ni vijana wanaosoma chuo, BBM) Yombo: Je, unafahamu chochote kuhusu teknolojia ya AI? Kadozo:...