Makala za Kiswahili

Karibu ujifunze kuhusu biashara mtandaoni, namna ya kupta wateja, personal branding na mambo mengine muhimu kwenye uchumi wa kidigitali.

Fahamu Namna Nzuri Ya Kutumia Mitandao Ya Kijamii?

Fahamu Namna Nzuri Ya Kutumia Mitandao Ya Kijamii?

Je, mitandao inakutumia zaidi kuliko unavyotakiwa kuitumia?. Leo hii mtu akinunua simu kubwa (smartphone) kitu cha kwanza anachokimbilia ni kujipost mtandaoni hata kama yuko kitandani, je hivi ndivyo tunavyotakiwa tuitumie mitandao? Kuwa kwenye ulimwengu wa kidigitali...

Je ni Nini Hatima ya Wale Wanaocode Kwenye Ulimwengu wa AI?

Je ni Nini Hatima ya Wale Wanaocode Kwenye Ulimwengu wa AI?

Kila sehemu AI, AI, AI inaenda kuchukua nafasi za wale wanaocode (Developers). Hata kipindi google inaanza watu walitabiri kuwa developers wengi watakosa kazi.  Je, developers walikosa kazi? AI ni kama google tu. Kwa nini uogope wakati maendeleo ya sayansi na...

Mambo Matano Mwanachuo Anaweza Kufanya ili Kukwepa Unemployed Baadae

Mambo Matano Mwanachuo Anaweza Kufanya ili Kukwepa Unemployed Baadae

Hakuna muda mzuri wa kukabiliana na unemployment kama muda ambao uko chuo. Wengi huja kulifahamu hili tayari jua limeshazama, muda huo upo nyumbani, pengine hata kupata fedha ya kujikimu au ya vocha ni kipengele yaani kuipata ile buku mbili mpaka uende ukafanye kazi...

Jinsi Nilivyopata Mteja Linkedin Nikiwa Bado Mwanafunzi

Jinsi Nilivyopata Mteja Linkedin Nikiwa Bado Mwanafunzi

Sikuwahi kuamini kama Linkedin ingeweza kunisaidia kupata mteja kwani wanafunzi wengi tunaamini mtandao pekee hauwezi kukufanya upate kazi zenye maana mpaka uajiliwe kwenye makampuni au taasisi. Jambo ambalo linatufanya tuwe na mawazo mgando na hatimae tukose fursa...

Jinsi AI Inavyoweza Kutumia Sauti Yako Kuzungumza na Mtu Mwingine

Jinsi AI Inavyoweza Kutumia Sauti Yako Kuzungumza na Mtu Mwingine

Baada ya Yombo kusikia neno AI linatamkwa sana huku mtaani ikabidi  amuulize jamaa yake Kadozo ili apate kujua zaidi.  Hivi ndivyo Mazungumzo yalivyokuwa. (Kadozo na Yombo ni vijana wanaosoma chuo, BBM) Yombo: Je, unafahamu chochote kuhusu teknolojia ya AI? Kadozo:...

Mbinu Mpya Ya Kupata Kazi Ukihitimu Chuo

Mbinu Mpya Ya Kupata Kazi Ukihitimu Chuo

Soko la ajira ni changamoto kubwa inayosumbua vichwa vya wanafunzi wengi hasa wale wanaohitimu vyuo vikuu katika nyakati hizi. Jambo ambalo linafanya vijana wengi wakose imani ya kufanikiwa tena. Kwanza ijulikane kuwa degree peke yake sio kigezo cha mhitimu kupata...

Je, ChatGPT Inaweza Kudukua Taarifa Zako?

Je, ChatGPT Inaweza Kudukua Taarifa Zako?

Hapana. ChatGPT haiwezi kudukua taarifa za watumiaji wake. Zana hii ya AI (Artficial Intelligent) ipo kwa lengo la kukusaidia kufanya kazi zako kama vile kuandaa maudhui kwa uharaka na ufanisi mkubwa.   Pia ChatGPT, amabaye kimsing ni roboti unayeweza kufanya...

Jinsi ya Kutumia ChatGPT Kuandaa Maudhui (Content Creation)

Jinsi ya Kutumia ChatGPT Kuandaa Maudhui (Content Creation)

Kama huna jeshi la maroboti mtandaoni yanayo kufanyia kazi masaa 24, basi wewe haujaingia rasmi kwenye ulimwengu wa digitali. You are not digitally savvy enough. Maroboti haya (bots) inaweza kuwa tovuti uliyoiandaa vyema kweye SEO kiasi inajionyesha kwa watu...